KAMATI YA MIFUGO MANISPAA YA ILALA YAFANZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI RUKWA


Na: Hashim Jumbe

Ujumbe wa Kamati ya Mifugo kutoka Manispaa ya Ilala ukiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Imelda Samjela umefanya ziara ya mafunzo katika Manispaa ya Sumbawanga, na kutembelea machinjio ya SAAF, machinjio ya Manispaa ya Sumbawanga na viwanda vidogo vya ngozi(SIDO).

Ziara hiyo iliwaambatanisha Madiwani wa Manispaa ya Ilala, Watendaji na Maafisa Wafawidhi wa machinjio ya Vingunguti na Ukonga, walipata pia fursa ya kutembelea hifadhi ya chakula NFRA na sehemu ya mnada wa  n’gombe KAMITA.
 
 
 
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Bw. Jesse Mkumbo akiwakaribisha Wajumbe wa Kamati ya Mifugo kutoka Manispaa ya Ilala katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga
 
 
 
Wajumbe wa Kamati ya Mifugo kutoka Manispaa ya Ilala wakiwa katika picha ya pamoja na Madiwani wa Manispaa ya Sumbawanga mbele ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga

 
 
 
 
 
 
 
 











 
 

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi