Na: Hashim Jumbe
Shule ya msingi Gongolamboto Jeshini ni miongoni mwa shule zilizonufaika na mgao wa madawati kupitia kampeni maalum ya harambee ya kuchangia dawati kwa mkoa wa Dar-es-Salaam. Madawati 200 yaliyotolewa na EWURA na DAWASCO yamekabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Sofia Mjema kupitia kituo cha habari cha Channel Ten.
Shule ya msingi Gongolamboto Jeshini ni miongoni mwa shule zilizonufaika na mgao wa madawati kupitia kampeni maalum ya harambee ya kuchangia dawati kwa mkoa wa Dar-es-Salaam. Madawati 200 yaliyotolewa na EWURA na DAWASCO yamekabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Sofia Mjema kupitia kituo cha habari cha Channel Ten.