TANGAZO LA GARAMA ZA LESENI ZA TAX NA MAEGESHO KUANZIA JULAI 1,2014



HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA
TANGAZO
UTOAJI WA VIBALI VYA TAKSI (REGISTRATION OF TAXI – CABS AND PRIVATE HIRE VEHICLES)     BY – LAW, 1968. 
 KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA ANAWATANGAZIA WAMILIKI WOTE WA TAKSI WENYE VITUO VYA KUEGESHEA NA WANAOFANYA SHUGHULI ZAO KATIKA MAENEO YA MANISPAA YA ILALA KUWA:-
USAJILI WA TAKSI UTAANZA RASMI TAREHE 01 JULAI, 2014.
HIVYO BASI MNATAKIWA KUFANYA USAJILI WA TAKSI KATIKA OFISI ZA BIASHARA ARNATOGLOU MNAZI MMOJA KULIPIA:-
(i)                   USAJILI WA GARI      TSHS.                 20,000/=
(ii)                 ADA YA MAEGESHO TSHS.                36,000/=
(iii)               ADA YA KITUO  TSHS.                             5,000/=
JUMLA                         TSHS.                 61,000/=
IELEWEKE WAZI KWAMBA KILA TAKSI ITASAJILIWA BAADA YA KUONYESHA KUWA NA ENEO LA KUEGESHA.
UKAGUZI RASMI UTAANZA BAADA YA MWEZI MMOJA KWA TAKSI ZOTE ZINAZOKIUKA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA UENDESHAJI WA BIASHARA YA TAKSI.
IMETOLEWA NA,

 MKURUGENZI WA MANISPAA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi