ENEO LA MIKOKO LA DARAJA LA SALENDER LAFANYIWA USAFI


Na Tabu Shaibu
Katika utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Mghufuli  wa kuliweka Jiji la Dar es salaam katika hali ya usafi, Wanafunzi na Walimu wa Shule ya uuguzi kutoka Hospital ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala walishiriki zoezi la usafi lililofanyika katika eneo la Daraja la Salender. Zoezi hilo lililofanyika Jumamaosi ya tarehe 25/03/2017 lililenga kuondoa taka zilizolundikana kwenye miti ya mikoko  iliyopo eneo hilo. Umuhimu wa usafi huo ni kuhakikisha mazalia ya viumbe hai yanatunzwa.














Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi