HABARI PICHA-MANISPAA YA ILALA ILIVYOAZIMISHA SIKU YA MTI WANGU

Picha na George Mwakyembe
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Sophia Mjema akipanda mti shule ya Msingi Yangeyange wakati wa maadhimisho ya siku ya upandaji mti maarufu kama mti wangu




Katibu Tawala Mkoa wa Dar-es-Salaam Bi. Theresia Mmbando akishiriki zoezi la upandaji miti kwenye siku ya mti wangu ambapo Kimkoa zoezi la upandaji miti lilifanyika shule ya Msingi Yangeyange


Katibu Tawala Wilaya ya Ilala, Bw. Edward Mpogoro akishiriki zoezi la upandaji shuleni Yangeyange










Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Bi. Elizabeth Thomas akiwasilisha taarifa ya zoezi la upandaji miti mbele ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema akiongea na Watendaji,Wanafunzi,Wananchi na Wageni mbalimbali waliojitokeza kwenye zoezi la upandaji miti shuleni Yangeyange


Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi