Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Tungini kata ya Chanika wakifurahia baada ya kukabidhiwa madawati |
wanafunzi wakiwa kwenye madawati yaliyotolewa na taasisis ya OCODE |
Mwakilishi wa mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Bw. Rogasian Seda akitoa neon la shukrani kwa taasisi ya OCODE mara baada ya kupokea madawati 217. |
Afisa Elimu msingi wa Mnispaa ya Ilala Bi. Elizabeth Thomas akiongea na waandishi wa habari baada ya kupokea madawati katika shule ya msingi tungini kata ya Chanika. |
Afisa Elimu msingi akiongea na mwakislishi wa taasisi ya OCODE katika shule ya msingi Viwege baada ya kupokea madarasa matawi yaliyojengwa na taasisi ya OCODE. |
Muonekanao wa madarasa hayo yaliyojengwa na taasisi ya OCODE katika shule msingi Viwege kata ya Majohe, manispaa ya Ilala. |
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Ndg.Isaya Mngurumi akikagua vifaa vya usafi vya kampuni mbali mbali mbali yaliyopewa tenda ya kuzoa taka katika Manispaa ya Ilala |
Baadhi ya vifaa vya usafi vinavyotumiwa na kampuni ya TIRIMA. |
Baadhi ya vifaa vya usafi vinavyotumiwa na kampuni ya GREEN WASTE PRO. |

Baadhi ya vifaa vya usafi vinavyotumiwa na kampuni ya AJM |
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala akiondoka na ujumbe wake katika viwanja vya mnazi mmoja. PICHA ZOTE NA DAVID LANGA |