Na: David Langa, kutokea Morogoro
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo amefungua rasmi maonesho ya Wakulima na Wafugaji-Nane Nane kwa Halmashauri zilizopo Kanda ya Mashariki ambazo ni kutoka Mikoa ya Dar-es-Salaam, Pwani, Tanga na Morogoro, ambapo maonesho hayo yanafanyika Mkoani Morogoro na kilele chake ni tarehe 8 Agosti.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni Kilimo, Mifugo na Uvuvi ni nguzo ya maendeleo: Vijana shiriki kikamilifu ("Hapa Kazi TU")
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo amefungua rasmi maonesho ya Wakulima na Wafugaji-Nane Nane kwa Halmashauri zilizopo Kanda ya Mashariki ambazo ni kutoka Mikoa ya Dar-es-Salaam, Pwani, Tanga na Morogoro, ambapo maonesho hayo yanafanyika Mkoani Morogoro na kilele chake ni tarehe 8 Agosti.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni Kilimo, Mifugo na Uvuvi ni nguzo ya maendeleo: Vijana shiriki kikamilifu ("Hapa Kazi TU")
Waziri Mkuu,Mhe. Kassim Majaliwa wa tatu kutoka kulia akizindua banda la maonesho ya nane nane la Manispaa ya Temeke |
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Sofia Mjema akisalimiana na Watendaji wa Manispaa ya Ilala alipotembelea banda la Manispaa ya Ilala |
OK TUNASHUKURU SANA
JibuFuta