Habari picha na Hashim Jumbe
Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Ilala, Bi.Elizaabeth Thomas akifuatilia mchezo wa mpira wa miguu kati ya Ilala na Temeke uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru. Ilala ilishinda goli moja kwa bila |
Afisa Michezo Manispaa ya Ilala, Bw. Salum Sanga akiongea na Wachezaji wa timu ya UMITASHUMTA Ilala mara baada ya kumalizika kwa michezo ya leo |
Ilala oyeeeeeeee.......!!!!
JibuFuta